Wednesday, March 19, 2014

Coastal Union mwendo mdundo.

 Wachezaji wa Coastal Union wakiwa mazoezini uwanja wa De Souza, leo asubuh.

                    Kocha wa Coastal Union, Yusuf Chipo akiangalia vijana wake hawapo pichani.

 Katibu wa Coastal Union, Mwalimu Kassim Siagi akibadilishana mawazo na Kocha Chipo katika mazoezi ya timu leo asubuhi mjini Tanga.

 Kocha masaidizi wa Coastal Union, Ally Jangalu akiangalia vijana wake wakifanya amzoezi ya kumiliki mpira na kutoa pasi fupi katika uwanja wa De Souza leo asubihi mjini Tanga.

Kocha Chipo akiwa na Kit Manager Mohammed baada ya amzoezi mjini Tanga leo asubuhi.
19 March, 2014
Tanga, Tanzania

No comments:

Post a Comment