Sunday, April 6, 2014

Coastal Union 0-2 Mgambo Shooting.

 Danny Lyanga akiminyana na wachezaji wa Mgambo Shooting katika game ya jana uwanja wa Mkwakwani Tanga ambapo Mgambo waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.

 Hamadi Juma akimimina majaro langoni mwa Mgambo Shooting jana.

 Mohammed Miraji wa Coastal Union akitafuta mbinu za kumchomoka mchezaji wa Mgambo jana.

 Yayo Kato Lutimba akiwa katikati ya wachezaji wa Mgambo jana uwanja wa Mkwakwani.

 Yayo Kato akiwa katika harakati zake.

 Suleiman Kassim 'Selembe' akiwania mpira na chezaji wa Mgambo katika uwanja wa Mkwakwani jana.

 Danny Lyanga jana alikuwa na jezi ya peke yake haina tangazo la Pembe... Why?

Danny Lyanga akicheza pembezoni mwa chaki huku mchezaji wa Mgambo akitafuta mbinu ya kumuibia mpira.

Kwa matokeo hayo Mgambo wamesogea kidogo kujiepusha na kushuka daraja, na Coastal Union imebaki na point 29 ikiwa nafasi ya 8 katika msimamo. Mechi mbili zilizobaki za nyumbani ni kati ya JKT Ruvu na Kagera Sugar.

COASTAL UNION
7 APRIL, 2014
TANGA TANZANIA

No comments:

Post a Comment