Saturday, September 28, 2013

Mbeya yavamiwa na kigoma cha Coastal

 Shamrashamra zikianza katika mitaa ya Uyole leo asubuhi.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa katika stand kuu ya Mbeya.

Hapakutosha leo mjini Mbeya.
 Tofauti ya mashabiki wa Coastal Union na timu nyingine ni swala, hapa mashabiki ambao walikuwa wakitoka Tanga walishuka eneo la Mdaula kupata swala ya Ijumaa jana mchana.

Mashabiki wa Coastal Union wakiwa hotel waliyofikia jijini hapo.
Shabiki wa Coastal Union Maarufu anaekwenda kama "Nyang'au Dungumaro akiwa katika mishe mishe ndani ya Jiji la Mbeya.

Mwenyekiti wa K/Hamasa na Ushangiliaji Miraji Wandi akiwa na Mjumbe wa K/Tendaji ya Coastal Union Ndg. Salim Amir (Legend) pamoja na mshauri Mkuu wa Rais wa Coastal Union Ndg. Salim Bawazir wakiwa ndani ya Jiji la Mbeya.

COASTAL UNION
28/09/2013
MBEYA - TANZANIA

No comments:

Post a Comment