Sunday, February 9, 2014

Rhino Rangers Vs Coastal Union (0-1)



Baada ya ushindi wa leo katika mechi kati ya Rhino Rangers na Coastal Union kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora, ambapo Jerry Santo aliipatia Coastal Union bao la mapema dakika ya pili, sasa tumepanda mpaka nafasi ya tano.
Kwa mujibu wa msimamo wa ligi, Coastal Union kabla ya ushindi wa leo walikuwa na point 19 katika nafasi ya saba. Baada ya Mtibwa Sugar kupoteza mchezo wake dhidi ya Mbeya City, wameendelea kubaki na point 22, ambazo Coastal pia wamezifikia hivyo kuwafanya kushuka nafasi moja chini kutokana na tofauti ya mabao ya kushinda na kushindwa.
Hivyo habari njema kwa mashabiki wa Coastal Union, ni kuwa kwa sasa tunaendeleza wimbi la ushindi ili kujeweka katika nafasi nzuri hasa ikizingatiwa kocha ameamua kufanya mabadiliko ya kikosi chake ili kupata ushindi kila mechi inayokuja.
Anaeshika nafasi ya kwanza ana point 36, na sisi kutokana na mechi tisa tulizobakisha ikiwa tutashinda zote tutakuwa na jumla ya point 49. Kwa maana hiyo uwezekano wa kumaliza nafasi tatu za juu upo ikiwa tutafanya vizuri katika mechi tisa tulizobakisha ambazo ni dhidi ya:
Simba, Kagera Sugar, Azam FC, Mgambo JKT, JKT Ruvu, Ruvu Shooting, Ashanti, Mtibwa Sugar na Mbeya City.  
Ikumbukwe kuwa mechi tatu za awali kabla ya leo kukutana na Rhino Rangers tulivaana na JKT Oljoro (1-1), Yanga (0-0) na Tanzania Prisons (0-0).
Kikosi leo kilichokutana na Rhino Rangers kilikuwa hivi: Shaaban Kado, Mbwana Kibacha, Othman Tamim, Yusuf Chuma, Juma Nyoso, Jery Santo, Suleiman Selembe, Mohammed Sudi, Crispian Odula, Haruna Boban na Danny Lyanga.
Na huu ndio msimamo wa ligi Kuu Tanzania Bara baada ya mechi za leo jioni.

Top of Form
Bottom of Form
Pos.
Logo
Club
P
W
D
L
GF
GA
GD
Pts
1
Azam FC
16
10
6
0
29
10
19
36
2
Young Africans FC
16
10
5
1
34
12
22
35
3
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/mbeya%20city.jpg
17
9
7
1
23
13
10
34
4
Simba SC
17
8
7
2
32
15
17
31
5
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Picture%204_0.png
17
4
10
3
11
7
4
22
6
Mtibwa Sugar FC
17
5
7
5
23
21
2
22
7
Kagera Sugar FC
17
5
7
5
17
18
-1
22
8
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/shooting_0.jpg
15
4
7
4
16
16
0
19
9
JKT Ruvu Stars
15
6
0
9
13
19
-6
18
10
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Logo_Ashant%2011i.jpg
16
3
4
9
15
27
-12
13
11
JKT Mgambo
17
3
4
10
8
27
-19
13
12
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/oljoro.jpg
16
2
6
8
10
25
-15
12
13
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/JKT_0.jpg
16
2
5
9
9
20
-11
11
14
http://www.azamfc.co.tz/sites/default/files/imagecache/team_logo_tiny/Prisons_FC.jpg
14
1
7
6
6
16
-10
10

Coastal Union
9 Februari, 2014

No comments:

Post a Comment