Monday, November 25, 2013

Maandalizi ya robo fainali Uhai Cup.







Kesho asubuhi saa mbili katika uwanja wa Azam Complex 'Chamazi', Vijana wa Coastal Union watashuka dimbani kupamabana na JKT Oljoro kwenye robo fainali ya Uhai Cup.

Picha hizi zinaonyesha wachezaji wa timu ndogo wakiwa katika fukwe za bahari Coco Beach, lengo likiwa ni kuburudisha nafsi na kutuliza akili kabla ya mechi.
COASTAL UNION
25 NOVEMBA, 2013
DAR ES SALAAM, TANZANIA

No comments:

Post a Comment