Sunday, March 31, 2013

Picha maalum...

Kocha wa timu B, Bakari Shime (kulia), na Meneja wa timu hiyo Ubinde (kushoto), wakiwa na Hafidh Kido mwandishi wa Coastal Union na mwendesha blog hii wakati wa chakula muda mfupi kabla ya mechi jana.

 Wachezaji wakishuka uwanjani kuingia vyumba vya kubadilisha nguo uwanja wa Azam Complex Chamazi uliozinduliwa rasmi na Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita.

Eddy na Ubinde wakizungumza na Philip Mugenzi beki wa kutumainiwa Coastal Union, Philip jana hakucheza kwani alikuwa na kadi tatu za njano hivyo nafasi yake ikachukuliwa na Yusuph Chuma kutoka timu B.

No comments:

Post a Comment