Saturday, January 18, 2014

Dhifa ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na kaimu Balozi nchini Oman.





 Mwenyekiti na kaimu balozi Abdallah Kilindi wakitafakari.


 Kocha wa timu ya taifa ya ufukweni Oman, Twalib Hilal akikabidhi jezi za wacezaji wa U20 Coastal Union, kwa mwenyekiti wa Coastal.

 Ofisa wa ubalozi ndugu Mussa akimkabidhi ngao ya kumbukumbu kwa mwenyekiti wa klabu ya Coastal Union, Hemed Aurora.

 Mwenyekiti wa Fanja SC, Seif El Sumry akizungumza mawili matatu katika dhifa ya leo.

 Mwenyekiti wa Coastal Union akiweka chakula.

 Kutoka kushoto kaimu balozi wa Tanzania nchini Oman, Abdallah kilindi na mwenyekiti wa Fanja SC, Seif El Sumri wakijiwekea chakula leo usiku.

 Dokta Francis Mganga, akiitendea haki dhifa ya leo.

 Nahodha msaidizi wa Coastal Union, akitoa maneno ya shukurani kwa viongozi wa ubalozi na Fanja Sc, kutokana na kufanikisha ziara yetu nchini hapa.

Viongozi wa ubalozi, viongozi wa Fanja SC wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa Coastal Union, Hemed Hilal 'Aurora', baada ya dhifa ya kuagana leo.

COASTAL UNION
JANUARI, 2014
MUSCAT, OMAN

No comments:

Post a Comment