Thursday, January 30, 2014

Mechi 11 za Coastal Union zilizobaki.



Ukiacha mechi ya Prison ambayo awali ilipangwa kuchezwa Februari 2, lakini mpaka sasa haijajulikana itachezwa tarehe hiyo ama la katika uwanja wa Sokoine mjini Mbeya; mechi nyingine za Coastal Union mzunguko wa pili Ligi Kuu ni kama ifuatavyo.
Februari 2, Rhino Rangers uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Februari 15, Ruvu Shootings uwanja wa Mabatini mkoa wa Pwani.
Februari 22, Mbeya City, uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Machi 8, Ashanti UTD, uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Machi 12, Simba SC, uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Machi 15, Azam FC, uwanja wa Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.
Machi 23, Mtibwa Sugar, uwanja wa Manungu, Turiani Morogoro.
Machi 30, Mgambo JKT, uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Aprili 12, JKT Ruvu, uwanja wa Mkwakwani Tanga
Aprili 27, Kagera Sugar, uwanja wa Mkwakwani Tanga.
COASTAL UNION
JANUARI 30, 2014
TANGA, TANZANIA

No comments:

Post a Comment