| Kocha wa walinda mlango Juma Pondamali 'Mensah' akiwafua vijana wake. |
| Golikipa namba tatu wa Coastal Union kubwa Mansour A Mansour, akiwa kazini mwenyewe ameomba kuichezea timu ya vijana kwa mapenzi tu, na kocha hajamkatalia. |
| Ally Albusaid naye alikuwepo. |
| Kocha mkuu wa timu B, Bakari Shime akiangalia vijana wake wakijifua. |
| Shime akihakikisha jina la kijana wa timu B wakati wa mazoezi wiki iliyopita. |
No comments:
Post a Comment