Sunday, August 4, 2013

Chema hakidumu...

Mkurugenzi wa ufundi Coastal Union, Nassor Ahmed Binslum (kulia), akiwa na mchezaji wa zamani wa Coastal Union aliyekuwa katika kikosi cha ubingwa 1988, Idrissa Ngulungu 'Kiraka' (Marehemu).

ngulungu alikwenda kumtembelea Binslum ofisini kwake Mnazi Mmoja mwezi uliopita na kupanga mikakati mingi ya ubingwa msimu unaoanza mwezi ujao. Nguli huyo aliyekuwa akicheza namba zote kasoro golikipa alifariki juzi kwa ajali ya gari mjini Morogoro na kuzikwa jana hukohuko Morogoro.

No comments:

Post a Comment