Sunday, August 4, 2013

Msiba wa Idrissa Ngulungu juzi.

Mwenyekiti wa Coastal Union Hemed Hilal (mwenye suti ya michezo) akiwa na ma-lgend wa Coatal Union pamoja na mtaangazji wa Clouds FM Mbiga wa Mbwiguke (mwenye kofia) walipokuwa mjini Morogoro kuhudhuria maziko ya mchezaji wa zamani wa Coatla Union Idrissa Ngulungu 'Kiraka'.

No comments:

Post a Comment