Friday, August 23, 2013

Mazoezi yakiendelea leo jioni, kwa ajili ya mechi ya kesho dhidi ya JKT Oljoro. Ligi kuu Tanzania bara.

                                                     Mazoezi yakiwa yamepamba moto.

Uhuru Suleiman akiuchezea mpira ili umzoee.



Mwalimu Morocco akiwaangalia wachezaji wake baada ya kuwapa mazoezi magumu leo.
 Kocha wa walinda milango, Juma Pondamali 'Mensah' akifurahia jambo na Shaaban Kado pamoja na Said Lubawa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, leo.

Yayo Lutimba Kato akitweta baada ya kukimbizwa sana na mwalimu Morocco.

COASTAL UNION
23 AGOSTI, 2013
ARUSHA, TANZANIA

No comments:

Post a Comment