Friday, August 23, 2013

Mwalimu Morocco asema ameshamaliza alichotakiwa kufanya kwa wachezaji wake, watu wasubiri mvua ya mabao tu.

Hapa walimu wa Coastal Union, Hemed Morocco na Ally Mohamed 'Kidi' wakizungumza na wanahabari mara baada ya mazoezi ya jioni jana katika uwanja wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid.

Morocco anasema ameshawaelekeza vijana wake cha kufanya kilichobaki ni mvua ya mabao tu.

COASTAL UNION
24 AGOSTI, 2013
ARUSHA, TANZANIA

No comments:

Post a Comment