Wednesday, August 7, 2013

Jinsi Yayo alivyotua Tanga.

Hapa akiwa ndani ya gari baada ya kupokewa uwanja wa ndege wa Tanga, Majani mapana.
 Waliokwenda kumpokea miongoni mwao alikuwepo Seif, hapa akimsindikiza kuingia kambini Raskazone Hotel.

Yayo Lutimba Kato, akiwa nje ya kambi Coastal Union Raskazone Hotel leo asubuhi. Kwa mujibu wa meneja wa kambi Ally Ahmed 'Kiraka' Yayo amewekwa chumba namba 1 pamoja na Crispian Odula kutoka Kenya.

Picha zote kwa hisani ya Miraji Wandi 'Shoka'

No comments:

Post a Comment