Saturday, January 5, 2013

Azam Vs Miembeni 3-1.... Miembeni walifungwa.

                                                                    Goli la Miembeni hili...

Ukiambiwa mpira kazi basi kazi yenyewe ndiyo hii.....


Miembeni na Azam. Matokeo yalikuwa ni 3-1. magoli ya Azam yalifungwa na Joackim Atudo, Gaudience Mwaikimba na Uhuru Suleiman. Na goli la Miembeni lilifungwa na Adeyoum Saleh.

No comments:

Post a Comment