Sunday, January 20, 2013

Habari picha mechi ya leo Coastal Union Vs African Sports...

 Hiki ndicho kilichonifanya niamini timu ya African Sports walikuwa wanaendeshwa kwa nguvu za kiza. Maana timu yao iliingiza wachezaji watanowatano kila mlango, yaani upande wao wa Sports waliingia watano, Rasha wakaingia watano, jukwaa kuu wakaingia watano na hapa ni upande wa Coastal ati pia wameingia. Sijawahi kuona Sports wakatumia jukwaa la Coastal kuingia.

 Huyu ni meneja wa timu ndogo 'ubinde' akiwa na swahiba wake wa siku nyingi na shemeji yake kipenzi Eddy Shossi.

                                                               Barbosa on the move.

                                           Wachezaji wa Sports hawa wanazidi kujigawa.

                               Majembe ya timu B walio[anda timu kubwa Hamad kulia na Nzara....

                                                             Team Captain Jerry Santo


                                                         Haihitaji maelezo picha hii jamani au?

                                         Aurora akiwa wa mnazi wa African Sports Abdul Bosnia..

 Unajua hapa Bosnia na Aurora walikuwa wanabishana nini mbele ya marefa? Ati timu ziwe na sub ngapi nne au zaidi? Bosnia alikuwa anataka sub ziishie nne maana alikuwa anajua balaa la Coastal wana vikosi viwili na vyote moto.

 Nilisikitishwa na miundombinu mibovu ya uwanja, hapa ni baada ya mechi kuisha ati huo mpira ndiyo unamwagilia maji uwanja. Si maji yote yanatuama sehem moja na uwanja unaharibika kwa matope?

Hapa namuona meneja wa timu B 'Ubinde, akiwa na msaidizi wake Seif katikati na kocha Shime akiwa amekaa. Hawa ndiwo waioipeleka timu B afainali za Uhai Cup Dar es Salaam... taraaaa..

No comments:

Post a Comment