Wednesday, January 2, 2013

technical director pia alihusika ktk kuiaga timu....

                      jembe nae hakuwa nyuma.... hata sijui alikuwa anazungumza nn na Binslum...

 hapa Nassor Binslum alikuwa ofisini kwake akizungumza na waendesha blog hii kuhusu namna watakavyokwenda Zanzibar kuhakikisha wapenzi wa  coastal wanapata habari kamili....

              Technical Director kulia akiwa na Vice chairman wakati wa kuiaga timu kwa baraka zote....

Hapa kocha mkuu wa coastal akiwaambia vijana wake wapande kwenye bus muda umekwisha...

No comments:

Post a Comment