Tuesday, February 19, 2013

COASTAL UNION KUCHEZA MICHEZO MIWILI NYUMBANI KABLA YA KUKUTANA NA SIMBA SC


Mabigwa Liguu Kuu Tanzania Bara 1989.Coastal Union Baada ya Kumaliza ziara yake ya Kanda ya Ziwa na Kuambulia Point 1 tu katika michezo yake Miwili dhidi ya Toto africans Ya Mwanza na kutoa sare ya Bila Kufungana na Kukubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ya Bukoba.

Michezo Miwili inayofuata Itacheza nyumbani michezo miwili kabla Ya kukutana na Simba Sc ya Dar-es-sallam Mchezo utakaochezwa 10/03/2013 katika Uwanja wa Taifa.Michezo Hiyo ni

20.02.2013-Jumatano
COASTAL UNION vs JKT OLJORO

27.02.2013-Jumatano
COASTAL UNION vs RUVU SHOOTING

No comments:

Post a Comment