Saturday, February 9, 2013

Picha za JB Belmont. Kumbe chakula hiki tumepewa kwasababu mwenye hoteli alifurahishwa na kiwango... akataka timu ije kula chakula cha usiku....

 Picha ya pamoja hii, viongozi wa JB Belmont na timu lakini picha za chakula bado zinaendelea nimeamua kuiweka hii hapa juu kwa heshima yake tu.

 Kwenye picha anaonekana daktari wa timu, mkurugenzi wa JB Belmont, mwenyekiti Aurora na meneja Akida.

 Na mimi nilikuwemo....


 Selembe alifundishwa table manners hawezi kukuangusha ukimpa mwaliko wako.



 Huyu ni mtangazaji wa Star TV nadhani wengi mnamjua akiwa na mwenyekiti


 Kit manager Mohammed

Danny akimwelekeza Mahundi namna ya kupakua... Anamwambia Mahundi, babaangu chakula hiki hakitakiwi kubakia.. kinatakiwa kiliwe...

No comments:

Post a Comment