Friday, February 8, 2013

Tulipofika uwanja wa CCM Kirumba ili kufanya mazoezi jioni tukakuta zengwe, Toto africa wanafanya mazoezi wakati John Tegete kocha wa Toto ni meneja wa uwanja huo anajua taratibu zote... ilikuwaje ingia ndani uone picha.

 Tulipokwenda kufanya mazoezi uwanja wa irumba tukakuta Toto Africa nao wanafanya mazoezi. Ilikuwa balaa mpaka wakaondoka baada ya kuwaeleza tuliwahi kuomba uwanja na pia kocha wa Toto ni meneja wa uwanja ina mana hajui taratibu za uwanja?

                                               Ila hatimae tukafanya mazoezi kibishi.

              Viongozi wa msafara wakitafakari jambo akati vijana wakipasha misuli moto.

 Kibacha akinyoosha viungo na Castro Mumbala, pembeni namuona Barbosa kwa jaaam.

                                                       Captain Santo akisprint.

                                                      Rajabu golikipa mzuri kumbe...

 Ally Kidi akiwatazama vijana wake wanavyonyoosha viungo wakati wa mazoezi jana.

                                                          Barbosa on the move.


                                 Shaaban Kado akifuliwa na Pondamali hayupo pichani.

                                             Barbosa na Sipi wakitunishiana misuli.

 Coastal Union tukawa maarufu ghafla, mara waandishi wa habari wakaanza kumiminika uwanjani wakati timu ikifanya mazoezi. Huyu ni mwanahabari anaitwa Wakuganda Issack kutoka Metro FM Radio ya Mwanza.
 Meneja Akida akiwa anamsikiliza mwalimu anavyowaasa vijana..


No comments:

Post a Comment