Friday, February 8, 2013

Uwanja wa ndege wa Mwanza mdogo ila unatua ndege kila baada ya saa moja.


 Hemed Morroco ameshazoea mambo haya halafu nimegundua hapendi picha angalia hapa anajaribu kunikwepa ahahaaa.... tichaaaaa.

                                          Vijana wakisubiri Bus tuelekee kambini. Airport Mwanza.

 Kutoka kushoto Aurora katikati katibutimu  wa Bawazir wa timu na kit manager katika uwanja wa ndege Mwanza.


Baadae tukakaribishwa Mwanza


No comments:

Post a Comment