Monday, February 4, 2013

Usicheze na Coastal Union wamedhamiria mwaka huu. Jezi zina majina...

Ibrahim Hussein jina jingine anaitwa Messi, alitoka timu B. Coastal pia tunakuza vipaji taraa. Gabrel Barbosa anakuwa Mbrazil wa kwanza kucheza soka la ushindani Tanzania. Coastal Union bwanaaa ni kamaa maajii... lazima utayanywa tu.

No comments:

Post a Comment