Wednesday, February 13, 2013

Mechi inataka kuanza...


 Kikosi cha Kagera Sugar hiki kitakachovaana na Coastal Union leo katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba leo saa kumi na nusu jioni.
 
Hannington Ralyesumbula (GP).
Juma Nade                        
Salum Kanoni                   
Laban Kambole                    
Amandus Nesta                     
Malegesi Mwangwa                
Julius Mrope                            
Mecky Michael                           
Edmund Kashamila                      
Darlington Enyinna                      
Paul Ngwai                                    



 Kagera Sugar wakifanya mazoezi katika uwanja wa Kaitaba muda huu kabla ya mechi saa kumi na nusu alasiri.


 Coastal Union wakipasha misuli kabla ya mechi, umegundua kitu? Coastal wamevaa sox za African Sports, sababu kwenye pre match waliambiwa Kagera Sugar wanavaa sox nyekundu hivyo wao wabadili.


Sub ni:
Adam Oseja (GP)
Benjamin asukile    
Muganyizi Martin
Benjamin Effe
Temi Felix
Daudi jumanne
Wilfred Ammeh

Abdallah Kibaden (kocha)
Mrage Kabange    (kocha msaidizi)

No comments:

Post a Comment