Tuesday, February 26, 2013

picha za maktaba safari ya kanda ya ziwa zinaendelea...

 Banda, Messi na Santo wakibadilishana mawazo kwenye kivuko.

 Mwenyekiti hapa alikuwa ananunua dawa, ila kila nilipomuuliza alikataa kuniambia ni dawa gani....

 Sato hao, au wazungu wanaita tilapia, wote ni Sh 20,000/= rahisi ama ghali?

 Ndani ya kivuko kuna restaurant nzuuuri unaweza kupata vinywaji na chakula pia ukitaka.

watu walijisahau kama wapo ndani ya kivuko story kwa kuenda mbele...

 Halafu kama hamjui Usagara huku kanda ya ziwa ndipo ilipoanzia kwa Chief Mangungo wa msovero, aliemwandikia barua Mjerumani na kumwambia sitoi ardhi yangu labda uniue. Chezea History wewe.nilipata A.

Ukiona hii sanamu ya Sato ujue umeshafika jijini Mwanza.



Halafu haaaaoooo tukapaa mwanawane, na picha zetu zikaishia hapaaaaaaaaaaaaaa....

COASTAL UNION
DAR ES SALAAM, TANZANIA
costalunion@gmail.com
27 Feb, 2013kanda ya ziwa zinaene

No comments:

Post a Comment